Sale!

Aloe vera capsules

Sh75,000.00

Aloe vera huboresha usagaji wa chakula tumboni, kuongeza kasi ya kutoa sumu mwilini, kuondoa maumivu na kupunguza joto la mwili na kuondoa dalili za uvimbe.matatizo katika tumbo, kama kuharisha sugu na  vidonda vya tumbo; na uvimbe

Description

Aloe vera

Kazi Na Faida za Aloe  Vera capsules

  • Kuboresha uchakataji wa chakula tumboni, kuongeza kasi ya kutoa sumu mwilini;
  • Kuondoa maumivu na kupunguza joto la mwili;
  • Kuondoa dalili za uvimbe

Aloe vera yafaa zaidi Kutumika Kwa:

  • watu wenye matatizo katika tumbo, kama kuharisha sugu na  vidonda vya tumbo
  • Watu waliofunga choo na kupata choo kwa shida (constipation)
  • Watu wenye uvimbe sugu na matatizo ya ngozi

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Aloe vera capsules”

Your email address will not be published.